Friday, July 20, 2012

Hongera Teresea Na Glory kwa kupata Sakramenti ya Pili (Kumonyo)

Hakika ni atua nyingine katika maisha hasa ya kiroho mungu awape hekima na maarifa kiakili, kimwili na kiroho nitawalea ipasanyo kama mama mlezi.nawapenda sana.
                                                 Wakaka na Dada zao wakipozi
Mama mzazi akiwa na wazimamizi wa wanae big up sana my sister umekuza madinti.
                                                 Mabrother
Wageni wakiwa nyumbani wakiwasubiri mabibi harusi wetu. namuona mama yangu mzazi na dada yangu mkubwa, wifi langu mama mwalimu na marafiki zangu wakibadilishana mawili matatu watu raha bwana kukutana.
Sherehe imekwisha jamani asanteni mashostito mmenitia joto mungu awabariki sana

No comments: