Saturday, July 21, 2012

YANGA SASA INATISHA, YAWACHAPA APR 2-0 KAMA WAMESIMAMA,

                                                               Kikosi cha Yanga
Yanga SC; Yaw Berko, Juma Abdul, Oscar Joshua, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, Kevin Yondan, Athumani Iddi ‘Chuji’, Stefano Mwasyika, Haruna Niyonzima, Said Bahanuzi, Hamisi Kiiza na Nizar Khalfan.
Benchi; Ally Mustafa ‘Barthez’, Rashid Gumbo, Shamte Ally, Jerry Tegete, Juma Seif, Idrissa Assenga, Godfrey Taita, Ladislaus Mbogo na David Luhende.
Kocha; Tom Saintfiet (Ubelgiji)
                                                                    Kikosi cha APR
A.P.R.;  Jean Claude Ndoli, Mbuyu Twite, Kabange Twite, Mugiraneza Jean, Leonel St Preus, Johnson Bagoole, Iranzi Jean Claude, Ngabo Albert, Tuyizere Donatien, Suleiman Ndikumana na Olivier Karekezi.
Benchi; Ndayishimiye Jean, Kwizera Ernest, Habib Kavuma, Mubumbyi Barnabe, Ngomirakiza Herman, Danny Wagaluka na Sekamana Mzime.
Kocha; Ernest Brandy (Uholanzi).
Kocha wa APR, Ernest Brandy kulia akiwa na kocha wa Yanga, Tom Saintfiet kabla ya mechi
                                           Kiiza akiwa amembeba juu Bahanuzi kumpongeza
Yanga imechukua ushindi wa goli mbili bila kwenye mechi ya Jana na APR magoli yaliyofungwa na Said Bahanuzi kwenye dakika ya 23 na 67.

Kwa idadi hiyo ya magoli, Bahanuzi anatimiza magoli manne toka michuano ya Kagame ianze.

APR walibadilika kwenye kipindi cha pili na kulishambulia goli la Yanga pasipo mafanikio ya kufunga pamoja na nafasi nzuri walizopata, Kama goli la dakika ya 43 la Yanga lisingekataliwa basi Yanga ingeondoka na ushindi wa 3-0.

No comments: