Thursday, August 9, 2012

KAMANDA LEMA AKIAGANA NA MWENYEKITI WA CHADEMA LONDON

Kamanda Godbless Lema  (kushoto) akiagana na Mwenyekiti wa tawi la CHADEMA London, kamanda Chris Lukosi  wakati akielekea Frankfurt ambako ataendelea na kazi yake ya kufungua matawi  ya CHADEMA.

No comments: