Wednesday, August 29, 2012

Mtoto Azaliwa Na Vichwa Viwili Mkoani Mara

Mtoto azaliwa na vichwa viwili katika hospital ya DDH Bunda Mara mtoto huyu alikaa kwa saa moja ni kisha kufariki dunia picha imepigwa na Berensi Alikadi mshiriki wa mafunzo ya Online Journalism yanayoendelea Mkoani  Mara.

No comments: