Wednesday, August 29, 2012

WATANZANIA TUNAWEZA,TUMSAPPORT MREMBO WA KITANZANIA ANAESHINDANIA MISS EAST AFRICA BELGIUM

Jina lake ni Juliana Pierre mtanzania ambae yuko kwenye list ya warembo wanaolitaka taji la Miss East Africa Belgium 2012 ( representing Tanzania), mwenye nguvu ya kumuweka kwenye nafasi ya ushindi ni wewe pekee kwa kulike page yake ya facebook… please tumsupport mtu wetu kwa kukopi na kulike hiyo page yake ya facebook hapo chini, mimi nimeshalike tayari….

http://www.facebook.com/JulianaPierreFinalisteMissEastAfricaBelgium2012

No comments: