Tuesday, August 14, 2012

PICHA MBALIMBALI KATIKA HARAMBEE WA M4C YA CHADEMA JIJINI DAR ZILIPATIKANA JUMLA YA TSH MILIONI 323

                                     Mshehereshaji Bi. Rose akiendesha shughuli yenyewe.
 Mwenyekiti wa hakati za Movement for Change - M4C iliyo chini ya CHADEMA Bw. Alex Mayunga akiongea machache.
 Wanakamati wa hakati za Movement for Change - M4C iliyo chini ya CHADEMA wakiwa mbele ya wageni wakati mwenyekiti wao Bw. Alex Mayunga akiwatambulisha.
 Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akiingia ukumbini huku akiwa ameambatana na viongozi wenzake.

                               Wapambe wakiwa katika picha ya pamoja na wageni waalikwa.
 Mweka hazina wa hakati za Movement for Change - M4C iliyo chini ya CHADEMA akiongea machache.
 Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe akimtambulisha kwa wanaharakati  Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari wakati wa ufunguzi wa harambee ya Movement for Change - M4C iliyopo chini ya CHADEMA. Jumla ya shilingi Milioni 323 zimepatikana katika harambee hiyo ambapo katika hizo pesa taslimu ni shilingi milioni 70 na ahadi ni milioni 253. Hafla hiyo ya kuchangia ilifanyika katika hoteli ya Serena jijini Dar.
                                          Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari
 Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari huku pembeni yake akiwepo Mbunge mstaafu wa Jimbo la Arusha Godbless Lema.
                                           Mbunge mstaafu wa Jimbo la Arusha Godbless Lema.

No comments: