Friday, November 23, 2012

Kinana Ashtukiza Ziara Tabora

                           Kinana akimsalimia Fatma Mwasa, Wengine, Nape, Khatib na Mwanri.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimsalimia viongozi wa mkoa wa Tabora alipotua kwa muda mkoani humo akiwa akitoka Rukwa kwenda Geita leo
Mkuu wa mkoa wa Tabora, Fatma Mwasa akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) akipotua kwa muda mkoani humo akiwa akitoka Rukwa kwenda Geita Leo

No comments: