Friday, November 23, 2012

Waziri Wa Habari Afungua Kikao Kazi Cha Sekta Ya Utamaduni....






















Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akifungua Kikao Kazi cha tisa cha  Wadau wa Sekta ya Utamaduni nchini  (hawapo Pichani).Kikao hicho kilifanyika Jijini Dar es Salaam hivi karibuni na kauli mbiu ilikuwa ni Urasimishaji wa tasnia za Filamu na Muziki uwe Chachu ya Maendeleo

























                                             








Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara  akiteta jambo na Katibu Mkuu Bw. Sethi Kamuhanda wakati wa Kikao cha tisa cha wadau wa Sekta ya Utamaduni kilichofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
                                             
 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akimpongeza Mghani Mashairi Bwana Mohamed Lukemo wakati wa ufunguzi wa  Kikao kazi cha tisa cha Sekta  ya Utamaduni kilichofanyika hivi karibuni Jijini Dar es Salaa.
                                               
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Sethi Kamuhanda akisisitiza jambo kwa katika Kikao cha tisa cha wadau wa Sekta ya Utamaduni kilichofanyika hivi karibuni Jijini Dar es Salaam. Kauli mbiu ya Kikao hicho ni Urasimishaji wa tasnia za Filamu na Muziki uwe chachu ya Maendeleo.Kushoto ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko
                                 
Picha na Benjamin Sawe wa WHVUM

No comments: