Sunday, December 9, 2012

Kikundi Cha Akina Dada Wa Precious Group Chazinduliwa Rasmi

 Magreth  Chacha ambaye ni Mkurugenzi wa benki ya wanawake (TWB) akizindua rasmi kikundi cha Precious Groupkwenye ukumbi wa Isumba Lounge jijini Dar es salaam.
 Hapa ikabaki kuwa furaha kwa wote mara baada ya uzinduzi huo.

Magreth  Chacha ambaye ni Mkurugenzi wa benki ya wanawake (TWB) akifurahia jambo na  kikundi cha Precious Groupmara baada ya kukizindua rasmi usiku huu kwenye ukumbi wa Isumba Lounge.
 Magreth  Chacha ambaye ni Mkurugenzi wa benki ya wanawake (TWB) akiwapa nasaha wanakikundi wa Precious Group mara baada ya juzindua kikundi chao.

 Mwenyekiti wa Kikundi cha akina dada cha Precious Group 2012 Agnes Shayo hiza akimkabidhi zawadi ya saa ya ukutani Magreth  Chacha ambaye ni Mkurugenzi wa benki ya wanawake (TWB)aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa kikundi hicho na chakula cha jioni iliyofanyika usiku huu kwenye ukumbi wa Isumba Lounge zamani Jolly Club jijini Dar es salaam, ambapo wageni mbalimbani na wanakikundi wa Precious walijumuika pamoja katika uzinduzi huo.
 Magreth  Chacha ambaye ni Mkurugenzi wa benki ya wanawake (TWB) akijadiliana jambo na Mweka hazina msaidizi wa kikundi hicho katika hafla hiyo, kulia ni Mwenyekiti wa Kikundi cha akina dada cha Precious Group 2012 Agnes Shayo

No comments: