Sunday, January 13, 2013

ARSENAL YASHIKWA, YALALA 2-0 KWA MAN CITY





Edin Dzeko wa Manchester City akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la pili na kufanya matokeo kuwa 2-0.



Jack Wilshere wa Arsenal (kushoto) akijaribu kumtoka David Silva wa Manchester City wakati wa mpambano wao uliomalizika kwa Man City kuibuka kidedea kwa bao 2-0.
James Milner wa Manchester City (kulia) akishangilia bao lake la kwanza dhidi ya Arsenal katika mchezo wao uliopigwa kwenye Uwanja wa Emirates jijini London leo. Man City wameshinda 2-0. Kushoto ni Lukas Podolski wa Arsenal.

(PICHA KWA HISANI YA EPA NA REUTERS)

No comments: