Wednesday, January 16, 2013

MZEE MKAPA NA MZEE MSUYA WATOA MAONI LEO

 Rais Mstaafu Mhe. Benjamin Mkapa (kulia) akiongea na Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhani (katikati) na Dkt. Salim Ahmed Salim. Wajumbe wa Tume walikutana na Rais huyo Mstaafu leo (Jumatano, Jan 16, 2013) jijini Dar es Salaam ili kupata maoni na uzoefu wake katika uandishi wa Katiba Mpya.
                                 Rais Mstaafu Mhe. Benjamin Mkapa akiwa na wageni wake

No comments: