Tuesday, January 1, 2013

JK.Azindua Matokeo Ya Sensa Ya Watu Na Makazi 2012.

Rais Jakaya Kikwete akibonyeza kitufe kwenye kompyuta kuzindua matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2012  jana jijini Dar es salaam ambapo idadi ya watu Tanzania imefikia milioni 44 929 002.
Rais Jakaya Kikwete akiwa katika picha ya pamoja  kwenye bango linaloonyesha idadi ya watu Tanzania na viongozi na watendaji wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012.
Picha na Aron Msigwa -MAELEZO

No comments: