Thursday, January 17, 2013

MAKAMO MWENYEIKI CCM ZANZIBAR DK. SHEIN, AZUNGUMZA NA VIONGOZI OFISI KUU YA CCM KISIWANDUI


 Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,na Rais wanZanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisisitiza jambo alipokua akizungumza na  Viongozi wa Tawi la CCM Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui,wakiwemo Viongozi wa  Jumuiya mbali mbali za Chama  hicho katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar jana,Makamo  Mwenyekiti alifanya ziara maalum ya kusalimiana na Viongozi hao ikiwa  ni pamoja na  kuimarisha Chama cha Mapinduzi,(CCM) (kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai


 Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wapili kulia) akizungumza na  Viongozi wa Tawi la CCM Afissi
Kuu ya CCM Kisiwandui,wakiwemo Viongozi wa  Jumuiya mbali mbali za Chama  hicho katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui  Mjini Zanzibar jana,Makamo  Mwenyekiti alifanya ziara maalum ya kusalimana na Viongozi hao ikiwa  ni pamoja na  kuimarisha Chama cha Mapinduzi,(CCM) (kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,                                         Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar,na Rais waZanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali MohamedShein,akizungumza na  Viongozi wa Tawi la CCM Afissi Kuu yanCCMKisiwandui,wakiwemo Viongozi wa  Jumuiya mbali mbali za Chama  hichokatika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui  Mjini Zanzibarjana,Makamo  Mwenyekiti alifanya ziara maalum ya kusalimana naViongozi hao ikiwa  ni pamoja na  kuimarisha Chama cha Mapinduzi,(CCM)(kulia) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai,na (kushoto)Mwenyekiti wa Tawi  Nadra Juma  Mohamed.

Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.

No comments: