Saturday, January 19, 2013

SONY YAZINDUA "SONY Experia Z" SIMU YENYE TEKNOLOJIA YA HALI YA JUU NA ISIYODHURIKA NA MAJI!




 Kampuni kubwa na maarufu kwa utengenezaji wa vifaa vya umeme kwa matumizi mbalimbali kamavile luninga,michezo ya vedeo"Video Games",redio,nk imezindua rasmi toleo jipya ya simu za Smartphone "SONY  Experia"na sasa ni "SONY  Experia  Z".Kifaa hiki kina mambo yafuatayo

•Inaweza kustahimili maji na vumbi bila madhara yoyote
•5-inch full Touch HD screen
•Inatumia Android 4.1 aka Jelly Bean
•2GB RAM na memory ya 16GB ndani huku inauwezo wa kuendesha memory card mpaka 32GB.
•Kama zilivyo iPhone 5,Samsung Galaxy S III na vifaa vingine vyenye uwezo mkubwa,inaruhusu 4G/LTE band kwa internet yenye kasi kubwa.
•Xperia Z inakuja na kamera ya megapixel 13.1 na kamera nyingine ya mbele yenye 2.2MP.Hii ni zaidi ya iPhone 5 na Samsung Galaxy S III,zote zenye kamera ya 8 megapixel .
 Toleo jipya kabisa la simu aina ya Smartphone kutoka SONY "Experia Z" ndio inayosifika kwa mwonekano mzuri kuliko simu zote za Smartphone!
 SONY Experia Z ikiwa katika maonesho huko Las Vegas,Marekani
 SONY Expria Z haisababishiwi matatizo yoyote na maji wala vumbi.
 Simu hii kutoka SONY inafanya kazi zake zote hata ndani ya maji bila kuleta hitilafu wala kuharibika.
 Picha,muvi na kitu chochote kwenye simu hii inaweza kuonekana kwenye luninga yako bila waya wowote ule!

No comments: