Monday, April 15, 2013

PICHA ZA MABAKI YA NDEGE ILIYODONDOKA JANA JIJINI ARUSHA



Eneo ambalo ndege iliyoanguka, kutoka eneo hilo mpaka landing truck ni kama 1km. Mbele ya mabaki hayo ya ndege kuna mti mmoja ambao unasadikiwa kuwa  ndege hiyo ilijigonga na kudondoka chini.

No comments: