Friday, May 24, 2013

Azam marine waleta meli mpya 'Kilimanjaro iv'


                                                                         Kilimanjaro iv
KAMPUNI ya Azam Marine, inaleta boti mpya ya Kilimanjaro iv, ambayo inatarajiwa kuwasili nchini nchini, kuanzia mwishoni wa mwezi huu, ikiwa na uwezo wa kubeba abiria 700 na kutumia muda wa dakika 70 kwa safari moja ya kati ya Zanzibar na Dar es Salaam. Hii ni boti mpya kabisa katika muendelezo wa boti za Kilimanjaro, ambayo itakidhi mahitaji ya wasafiri wa eneo hili kwa kuwa inabeba sifa zote, ambazo ni Usalama, Kasi zaidi na Unadhifu. Kaa tayari kwa mzigo mpya kutoka Azam Marine.

Chanzo: Binzubeiry

No comments: