Monday, June 3, 2013

NEYMAR ATUA RASMI BARCELONA

 Klabu ya Barcelona imemtambulisha rasmi mshambuliaji wake mpya, Neymar da Silva Santos Júnior 'Neymar' klabuni hapo kwa mara ya kwanza kwa ajili ya kuanza kuitumikia timu hiyo. Pichani juu ni baadhi ya taswira za mchezaji huyo akiwasili klabuni hapo.



No comments: