Wednesday, December 31, 2014

Tukio hili limetokea leo mahakama ya kisutu Dar es salaam

 Hizi ni baadhi ya picha za tukio hili jamani samahani kwa picha zinazoendelea




Saa kadhaa zilizopita Polisi walimfyatulia risasi mtuhumiwa aliejaribu kutoroka baada ya kufikishwa kwenye Mahakama ya Kisutu Dar es salaam asubuhi ya December 31 2014.

Muda mfupi baadae Polisi ikatoa taarifa kwamba mtuhumiwa wa dawa za kulevya aliyeuwawa ni Abdul Koroma raia wa Sierra Leone na aliuwawa kwa risasi wakati akitoroka Mahakamani.

No comments: