Thursday, July 5, 2012

HUYU NDIO KOCHA MPYA YANGA AMBAE TAYARI AMESHATUA BONGO BADALA YA MAXIMO..

Kocha mpya wa Yanga, Mbelgiji Thom Saintfiet amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam na kulakiwa na mamia ya wapenzi wa klabu hiyo.

No comments: