Thursday, August 23, 2012

Je Umewahi kutumia Maziwa ya Soya.Hakika ukijaribu hutaacha yana ladha zuri na bora kwa afya ya watoto wako na familia yako ni halisi hayana chemical yoyote. tumia bidhaa za kitanzania.

            Yanapatikana Supermarket karibu zote mjini Arusha.Pia ukihitaji unaletewa popote ulipo.

No comments: