Thursday, August 23, 2012

Mwanasheria Wa CCM Makao Makuu Achukua Fomu Ya Kugombea Ujumbe NEC

 Mwanasheria wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Grorious Luoga (kulia) akiwa na mama yake mzazi Antonia Mselewa kushoto baada ya kuchukua fomu ya kuomba kuchaguliwa nafasi ya ujumbe wa halmashauri kuu ya chama hicho kupitia wilaya ya Songea vijijini,katikati katibu wa chama wilayani songea Bi Lidya Gunda.
Mwanasheria wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Makao Makuu,Grorious Luoga (kulia) akikabidhi mchango wa shilingi 100,000 kwa chama hicho Wilaya ya Songea vijijini ili ziweze kusaidia katika mchakato wa chaguzi mbalimbali ndani ya chama,kushoto katibu wa chama hicho songea vijijini,Lidya Gunda.

No comments: