Thursday, August 23, 2012

Waziri Wa Maliasili Na Utalii Ahudhuria Mkutano Wa tisa Wa Sullivan Malabo, Equatorial Guinea

Waziri wa maliasili na utalii balozi Khamis Kagasheki (kushoto) akijadiliana jambo na rais mstaafu wa Nigeria jenerali Olusegun Obasanjo mjini Malabo, Equatorial Guinea ambapo wanahudhuria mkutano wa tisa wa sullivan unaojadili masuala mbalimbali yanayohusu maendeleo ya bara la Afrika.

Picha na Pascal Shelutete.

No comments: