Friday, August 10, 2012

JK: Awaapisha Watendaji Wakuu Wa Mahakama Ikulu Jijini Dar Jana

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe.Hussein Kattanga kuwa Mtendaji Mkuu wa Mahakama, kabla ya uteuzi wake,Mhe. Kattanga alikuwa Katibu Mkuu TAMISEMI.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 Mhe.Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha, Mhe. Ignas Paul Kitusi kuwa Msajili Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, kabla ya uteuzi wake Mhe. Kitusi alikuwa Msajili wa Mahakama Kuu.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe. Panterine Kente kuwa Msajili wa Mahakama ya Rufani. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.  
Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Watendaji Wakuu wapya wa Mahakama ya Tanzania, mara baada ya kuwaapisha Ikulu jijini Dar es Salaam, kutoka kushoto ni Katibu Mkuu Kiongozi, Mhe. Ombeni Sefue, Mhe. Hussein Kattanga, Mtendaji Mkuu wa Mahakama, Mhe. Ignas Paul Kitusi, Msajili Mkuu wa Mahakama na Mhe. Panterine Kente, Msajili wa Makahama ya Rufani.
                                 
 Picha na Ikulu.

No comments: