Wednesday, August 8, 2012

NAIBU WAZIRI AFRIKA MASHARIKI APATA AJALI


                                           Wananchi wakitazama gari la naibu waziri wa Afrika Mashariki
                               Gari la Naibu Waziri wa Afrika Mashariki  Lilivyopinduka
Naibu waziri wa Afrika Mashariki Abdullah Juma Saddallah amepata ajali ya gari alilokua akisafiria kwenye eneo la Kongowe Kibaha Pwani akitokea Dodoma kuja Dar es salaam.

Hiyo ajali imetokea leo jioni ambapo Naibu waziri amesema hali yake sio mbaya sana ila dereva ndio ameumia kiasi, bado wanapata matibabu kwenye hospitali ya Tumbi Kibaha Pwani,  chanzo cha ajali amesema ni baada ya dereva wake kukwepa lori lakini hakufanikiwa na gari ikatoka nje ya barabara.

Picha na Francis Godwin wa Matukio.

No comments: