Wednesday, August 8, 2012

TSC Mwanza Yarejea Kutoka Ujerumani Na Vikombe Kibao

 Altaf Hirani Rais wa Taasisi ya Tanzania Street Children Sports Academy TSC ya Mwanza akizungumza na waandishi wa habari leo kwenye ofisi za shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania TFF kulia ni Mkurugenzi wa TCS Mutani Yangwe na kushoto ni Mmoja wa maofisa wa kituo hicho B. Leonard Magomba.
 Viongozi wa kituo hicho wakiwa katika picha ya pamoja na wachezaji wa timu hiyo kutoka TCS Mwanza mara baada ya kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam wakiwa na mataji yao waliyoijishindia na zawadi mbalimbali.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Tanzania Street Children Sports Academy TSC ya Mwanza,Mutani Yangwe akizungumza na waandishi wa habari kwenye ofisi za Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF Karume wakati akielezea mafanikio ya timu ya Academy yao waliyoyapata kutoka nchini Ujerumani na kunyakua mataji mbalimbali na zawadi kemkem.
Chanzo: www.fullshangweblog.com

No comments: