Tuesday, August 7, 2012

RAIS JAKAYA KIKWETE AELEKEA KAMPALA LEO

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rubani Bomani na wanaanga wenzie  wa Ndege za Serikali  kabla ya kuanza safari ya kwenda Kampala, Uganda, kuhudhuria mkutano wa nchi za Maziwa Makuu asubuhi leo Agosti 7, 2012
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,  Mhe Saidi Mecky Sadik  kabla ya kuanza safari ya kwenda Kampala, Uganda, kuhudhuria mkutano wa nchi za Maziwa Makuu asubuhi leo Agosti 7, 2012
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Wananchi la Tanzania,  Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo  kabla ya kuanza safari ya kwenda Kampala, Uganda, kuhudhuria mkutano wa nchi za Maziwa Makuu asubuhi leo Agosti 7, 2012. Katikati yao ni Inspekta Jenerali wa Polisi, Saidi Mwema.

(PICHA NA IKULU)

No comments: