Tuesday, August 7, 2012

Yanga Yapeleka Kombe La Kagame Bungeni

 Wachezaji wa Yanga wakiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri Mkuu , Fatuma Karume ,wabunge na Kocha wao wakiwa na Kombe lao la Kagame Bungeni mjini Dodoma.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mama Fatuma Karume wakishikilia Kombe la Kagame lililotwaliwa na  Yanga hivi karibuni lililoletwa na wachezaji wa Yanga na Viongozi wao akiwemo Kocha wao mpya Tom Saintfiet Bungeni mjini Dodoma.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mke wa Rais, Marehemu Abeid Amani Karume Mama Fatuma Karume kwenye Viwanja vya Bunge mjini Dodoma.
Mke wa Rais, marehemu Abeid Amani Karume Mama Fatuma Karume ambae ni Mfadhiri wa Yanga kwa pamoja wakiingia Bungeni pamoja na Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji kupeleka kombe la Kagame Bungeni.

Chanzo: Anna Nkinda, Maelezo

No comments: