Saturday, August 4, 2012

RAIS KIKWETE KWENYE WARSHA KUHUSU MFUMO WA KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA MIPANGO YA MAENDELEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua warsha kuhusu mfumo wa kusimamia utekelezaji wa mipango ya maendeleo kwa mawaziri, makatibu wakuu na wakuu wa taasisi za serikali leo Agosti 4, 2012 katika ukumbi wa St Gaspar mjini Dodoma
 Washiriki wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati akifungua warsha kuhusu mfumo wa kusimamia utekelezaji wa mipango ya maendeleo kwa mawaziri, makatibu wakuu na wakuu wa taasisi za serikali leo Agosti 4, 2012 katika ukumbi wa St Gaspar mjini Dodoma
 Rais Kikwete, Makamu wa Rais Dk. Muhammed Gahrib Bilal, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Spika wa Bunge Anna Makinda na viongozi wengine waliohudhuria warsha hiyo, wakiwa katika picha ya pamoja

No comments: