Monday, November 12, 2012

Mkutano Mkuu Wa Ccm, Dodoma Leo

                         Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete akiwasili ukumbi wa Kizota akifuatana. Kulia ni Karume, Dk. Bilal na kushoto ni Mukama na Msekwa.                              
                                                                 
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Kikwete akiongoza Mkutano Mkuu wa CCM leo Novemba 12. Kushoto ni Karume na kulia ni Msekwa
                    Waasisi wa Tanu na baadaye CCM, Mwadawa Ali (85) na Mohammed Makber (72)
                        wakisoma gazeti ya UHURU la Chama Cha Mapinduzi, kabla ya mkutano kuanza

              Khadija Kopa (kushoto) akiimba wakati TOT ilipotumbuiza kwenye mkutano huo

Picha na Bashir Nkoromo

No comments: