Saturday, January 5, 2013

Leo Chadema Wawakumbuka waliopoteza Maisha katika vurugu zilizotokea 5/1/2011 Arusha.

Kwa wakazi wa Arusha na vitongoji vyake, Leo kutakuwa na mkutano mkubwa wa kuwakumbuka ndg zetu(Denis na Ismail) walio pigwa risasi na jeshi la polisi 5.1.2011, mkutano huu utafanyika kwenye uwanja wa Ngarenaro shule ya msingi kuanzia saa tisa, vile vile utarusha na kituo cha redio ya sunrise (94.80 FM) kwa wakazi wa Arusha na mikoa jirani.






Hizi ni baadhi ya picha wakati wa kuwaaga makamanda wetu waliopoteza maisha 5.01.2011. R.I.P (Denis na Ismail)

No comments: