Thursday, February 7, 2013

Taswira bungeni leo

 Baadhi ya Maafisa Habari  Mawasiliano Serikalini  wakielekea katika Ukumbi wa Mkutano wa Bunge leo Dodoma. Maafisa hao  wamefanya ziara  Bungeni hapo ili kuona  shughuli za Bunge,
                                                   Aggrey Mwanri akijibu hoja Bungeni
Naibu Waziri, Ofisi ya  Waziri Mkuu (TAMISEMI) Aggrey Mwanri akiwakilisha hati mezani kuhusu Taarifa ya  Mwaka na Hesabu zilizokaguliwa na Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa kwa Mwaka wa Fedha,2010/2011.

(Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO

No comments: