Tuesday, June 18, 2013

Habari isiyo rasmi AICC Imekataa uwanja wa soweto kutumika kuaga miili ya marehemu

Kuna taarifa zilizopo ni kwamba AICC ambao ni wamiliki wa uwanja wa soweto wameshinikizwa na serikali ya CCM kuzuia CHADEMA kutumia uwanja kwa ajili ya kuaga miili ya marehemu! Huu ni unyanyasaji mwingine wa serikali ya CCM dhidi ya wananchi wa nchi hii.Ndiyo maana polisi wamejazana hapa kulinda uwanja usitumiwe na CHADEMA! Ikumbukwe kuwa AICC ni taasisi ya umma, ambayo pia inaendeshwa kwa kodi za wa Tanzania pamoja na kuwa ni shirika la umma. Muda huu nisiseme mengi kwani tunasubiria viongozi wetu pamoja na wabunge wapo kwenye mazungumzo!

No comments: