Tuesday, June 18, 2013

Hati tete mjini Arusha Mabomu kila kona


Kufuatia mlipuko wa bomu lililorushwa tarehe kumi na tano kwenye mkutano wa chadema na kuuwa na kujerua leo hii mabumu yametawala kila kona kuwatawanyisha wafuasi wa chadema waliukua wakiomboleza misiba katika uwanjwa wa soweto. tunaendelea kuwaletea habari na picha za matukio.

No comments: