Saturday, June 23, 2012

Airtel Yatoa Msaada Vifaa Vya Michezo Shule Za Msingi Gongolamboto


Afisa uhusiano wa Airtel, Jane Matinde akikabidhi jezi za mpira kwa Mwalimu mkuu wa shule ya msingi ya Maarifa, Marietha Mulyalya wakati Airtel ilipotembelea shule za Mwangaza, Maarifa na Gongolamboto Jaika Gongolamboto na kukabidhi vifaa vya michezo hapo Jana

Afisa uhusiano wa Airtel, Jane Matinde akikabidhi jezi za mpira kwa Mwalimu wa Taaluma na michezo wa shule ya msingi ya Gongolamboto Jaika, Almasi Shemdoe wakati Airtel ilipotembelea shule za msingi za Gongolamboto za Mwangaza, Maarifa na Gongolamboto Jaika na kugawa vifaa vya michezo.
Afisa uhusiano wa Airtel, Jane Matinde akikabidhi jezi za mpira kwa  Mwalimu wa Taaluma na michezo wa shule msingi ya Mwangaza, Abdul Mwarami wakati Airtel ilipotembelea shule za  Mwangaza, Maarifa na Gongolamboto Jaika na kukabidhi vifaa vya michezo. Chanzo: www.fullshangweblog.com

No comments: