Wednesday, July 4, 2012

MKE MJAMZITO WA GAEL GLICHY NDIO HUYU.

Baada ya Mario Balotelli kutangaza kwamba anatarajia kupata mtoto na demu wake Raffaella, leo Gael Glichy amejitokeza mitaani na mkewe wake Charlene Guric ambaye sasa imegundulika ni mjamzito wa miezi minne.

Clichy na mkewe Charlene walionekana wakitembea kwenye maduka ya St.Lopez wakifanya manunuzi ya vitu mbalimbali siku mbili baada ya mchezaji mwenzie wa Manchester City Mario Balotelli na mchumba Modo Raffaella kutangaza kwamba wanatarajia kupata mtoto.

Inaonekana wachezaji wa City wamepania kutengeneza timu nyingine ya watoto wao sasa.

No comments: