Sunday, August 19, 2012

GODLOVE MULIAHELA‏ : MWANAMUZIKI WA NYIMBO ZA INJILI KUTOKA TANZANIA AISHIYE UJERUMANI

                Godlove Muliahela akifanya 'shooting' ya wimbo wake ambao utatoka hivi karibuni.
                     Ilikuwa ni wakati wa mapumziko hapa akiwa pamoja na 'producers' wake.
                                Kazi ya kuendelea kurekodi wimbo wake ikiendelea.
Akiwa pamoja na Mpiga picha wake wa video.

                                           ..akiwa pamoja na kwaya yake huko Ujerumani.

Kwa Taarifa zake zaidi Tembelea Website yake hapa http://www.god-love.de/

No comments: