Wednesday, October 17, 2012

Breaking News Fujo Zanzibar kutokana na kiongozi wa uamsh

Habari zilizotufikia hivi sasa vurugu kubwa zinaendelea maeneo ya darajani mjini Zanzibar habari zinaeleza kuwa kiongozi wa uamsho ametekwa hivyo wafuasi wake ndio wanafanya fujo. tunaendelea kuwaletea habari kamili hapa hapa Tanzania Asilialive


No comments: