Wednesday, October 17, 2012

Yaliyojiri siku ya Jumamosi 13th October katika uwanja wa sheikh abd amani karume katika maombi ya kuombea taifa la tanzania na kukombolewa



                      Hizi picha ni za jumamosi asubuhi wakati watu wakisubiri maombi kuanza
                                                                     Umati wa watu





Wakati wakristo wakiombea Tanzania yetu hivi sasa udini umetawala kila kona makanisa yanachomwa watu wanaumizwa tunapoteza mali zetu. hivi sasa hali si nzuri Zanzibar na Dar es Saalam maandamano na fujo zinaendelea.

No comments: