Thursday, March 7, 2013

MATOKEO YA UCHAGUZI WA URAIS KENYA KWA MUDA HUU

 Hadi kufikia muda huu, Kenyatta anaonekana kuongoza kinyang'anyiro hicho.Matokeo kamili yanatariwa kutangazwa kesho.

Wakati huo huo tume ya uchaguzi nchini humo (IEBC) ilikiri kuwa mitambo yake ya kuhesabu kura kwa njia ya kisasa ilishindwa kuhimili vishindo vya zoezi hilo na kulazimika kuhamia kwenye mfumo wa zamani (manual) wa kuhesabu kura.

No comments: