Thursday, March 7, 2013

KAULI YA KAMANDA KOVA...............

Kutekwa kwa Kibanda si tukio la kihalifu! Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam,Suleimani Kova, amedai kuwa kutekwa na kuumizwa vibaya kwa Mwandishi nguli na Mhariri wa New Habari,Absalom Kibanda, si tukio la kihalifu. Kamanda Kova amedai kuwa tukio hilo limetokana na chuki na kulipiziana visasi    Hii ni kwasababu waliomteka na kumshambulia Kibanda hawakuchukua kitu
 chochote toka kwake. Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari kutoa taarifa za uchunguzi wa awali wa jeshi la polisi juu ya tukiohilo lililotokea jana,

No comments: