Saturday, July 7, 2012

SIMBA WAIKANDAMIZA YANGA KWA PENALTI 3-2

Hivi ndivyo hali ilivyokuwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam katika mtanange wa watani wa jadi Simba na Yanga (Wabunge) wakati wa TAMASHA LA MATUMAINI ambapo wabunge wapenzi wa timu ya Simba wameibuka kidedea kwa penalti 3-2.  Simba wamefunga penalti 3 wakati Yanga wakifunga 2
                                                           Yanga baada ya kipigo hicho.

No comments: