Saturday, July 7, 2012

WEMA SEPETU, JACQUELINE WOLPER HAKUNA MBABE

                                                    Mwamuzi akiamua mpambano uanze.
                                                         Wolper na Wema wakionyeshana ubabe.
Wema akipata mawaidha kutoka kwa mwalimu wake Rashid Matumla.
Waigizaji mahiri wa filamu nchini, Wema Sepetu na Jacqueline Wolper wametoka suruhu katika mpambano wao wa raundi 2 uliofanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar e Salaam kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini.

No comments: