Saturday, September 1, 2012

CHADEMA Leo Wako Marekani-Mapokezi

 Mbunge wa Mbeya Mjini(CHADEMA) Mhe. Joseph Mbilinyi a.k.a Mr. II(wa pili Kushoto)akiwa na Uongozi Mzima wa Tawi la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema DMV kwaajili ya mapokezi
 Mbunge wa Hai, na Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe(kushoto)akiwa na Mwenyekiti wa Wanawake CHADEMA Maryam Khamis wapili kulia na Katibu wa wanawake Baybe Leila, wa kwanza kushoto wakiwa katika mapokezi ya kumpokea mgeni rasm wa mkutano wa Jumamosi Mh. Freeman Mbowe.
 Mbunge wa Hai, na Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe(Wa nne Kulia) pamoja na Mbunge wa Mbeya Mjini(CHADEMA)Mhe. Joseph Mbilinyi(wa tatu kushoto) wakiwa na wa Chadema DMV
 Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mh. Freeman Mbowe akiwa na baadhi ya viongozi wa Tawi la Chadema DMV aliopowasili siku ya Ijumaa Aug 31, 2012, kwenye uwanja wa kimataifa Dulles Airport, kwaajili ya mkutano utakaofanyika Siku ya Jumamosi Spet 1,2012.
Mkutana huo utaaza rasmi mida ya saa 4:PM (Kumi za Jioni) Wageni rasmi wamkutano huo ni Mhe. Freeman Mbowe na Mhe Joseph Mbilinyi ADDR. Addr: 9670 Baltimore Ave. College Park. MD 20740

Baada ya mapokezi Katibu wa Tawi la Chadema DMV Mhe. Isdori Lyamuya akiongea mpango mzima wa mkutano utakaofanyika Jumamosi Sept 1, 2012 kwenye ukumbi wa Marriott Hotel Addr: 9670 Baltimore Ave. College Park. MD 20740.

Picha Zote na CHADEMA

No comments: