Mapadri wakiweka kaburini mwili wa aliyekuwa Askofu wa jimbo la Mpanda Mhashamu Pascal William Kikoti kaburini katika mazishi yaliyofanyika kwenye kanisa kuu la jimbo Katoliki la Mpada Mjini Mapanda Septemba 1, 2012

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitupa mchanga kwenye kaburi la Askofu Pascal William Kikoti katika mazishi yaliyofanyika kwenye Kanisa Kuu la Katoliki jimbo la Mpanda mjini Mpanda Septemba 1, 2012.
Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
No comments:
Post a Comment