Thursday, January 31, 2013

GET WELL SOON MY LOVELY DAD.

 Mungu Akikuacha katika hali fulani,Basi mshukuru wala usilalamike! Yeye ndie Akujuae zaidi.Pia usidhani kama maisha yamekamilika kwa mtu yeyote ,kuna wenye nyumba hana gari ,kuna mwenye gari hana watoto ,kuna mwenye watoto hana pesa, kuna mwenye pesa hana afya kuna mwenye afya hana kazi ,kuna mwenye vyote lakini hana amani wala furaha, Mshukuru Mungu jinsi Ulivyo.Tunakupenda tunakuombea. GET WELL SOON MY LOVELY DAD.Jopo lote la Tanzania Asilialive ipo nawe katika Maombi Hakika mungu ni mwema Hashindwi na jambo Namtumainia yesu kila sekunde ya uhai wangu hawezi niacha kamwe.

No comments: