Thursday, January 31, 2013

PICHA ZA LULU MICHAEL AKIWA HURU URAIANI.....

                               Lulu akiwa ndani ya gari baada ya kukamilisha dhamana yake.
                           Lulu (katikati) akitoka eneo la mahakama baada ya kukamilisha dhamana yake.
                                                 Gari lililombeba Lulu likiondoka mahakamani.
 Kutoka kushoto ni mama mzazi wa Lulu Lucresia Karugila, wakili wa Lulu bwana Kibatala na Dk. Cheni wakijadili jambo wakati wakisubiri dhamana ya Lulu.
                                  Lulu akishuka katika gari la polisi baada ya kuwasili mahakamani.
                         Lulu akiingia katika chumba cha msajili wa mahakama ili kukamilisha dhamana yake.
               Lulu akiongea na wanahabari (hawapo pichani) baada ya kupata dhamana.

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo imemwachia kwa dhamana msanii wa filamu, Elizabeth Michael 'Lulu' aliyekuwa anakabiliwa na kesi ya kumuua msanii mwenzake wa filamu Steven Kanumba Aprili 7, 2012 bila kukusudia baada ya kukamilisha taratibu zote za dhamana.

No comments: