Thursday, January 31, 2013

Taswira bungeni leo

  Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara (kulia) akibadilishana mawazo na Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki(katikati) pamoja na Mbunge wa Viti maalumu  ster Bulaya(kushoto)katika viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma.
 Mbunge wa Iramba Magharibi Mwingulu Nchemba (kulia) akizungumza na Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nasari leo Dodoma katika viwanja vya Bunge-




Mwanasheria Mkuu Mkuu wa Serikali Mh. Jaji Frederick Werema (kulia) akibadilishana mawazo na Naibu Wazir wa Habari,Vijana, Utamaduni na Michezo Amos Makalla leo Bungeni mjini Dodoma.

 Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO.

No comments: