Friday, January 4, 2013

MAJONZI, VILIO VYATAWALA WAKATI MWILI WA SAJUKI UKIOMBEWA NYUMBANI KWAKE TABATA JIJINI DAR

                                   Mwili wa Sajuki ukipelekwa uwanjani kwa ajili ya kuswaliwa na masheikh.

  Mwili wa Juma Kilowoko 'Sajuki' ukiswaliwa nyumbani kwake Tabata-Bima jijini Dar es Salaam leo kabla ya kwenda kuzikwa.
                                                              Vilio vikitawala msibani hapo.







                    Mama mzazi wa Sajuki akilia kwa uchungu wakati mwili wa mwanaye ukiswaliwa.





(PICHA: GLADNESS MALLYA NA HAMIDA HASSAN / GPL)

No comments: