Monday, July 16, 2012

Kwa Wale Wanaotafuta Ajira Kwenye Database Maalumu Ya Serikali


Kwa wale wanaotafuta Ajira au kuhitaji kuweka CV zao kwenye Database Maalumu ya Serikali basi watembelee  Tovuti hiyo, bado inaendelea na matengenezo madogo madogo lakini utaweza kuweka taarifa na mambo mengine pamoja na kutafuta kazi zinazohusiana na Serikali ya Tanzania. http://www.ajira.go.tz

No comments: