Monday, July 16, 2012

WACHEZAJI WAPYA WA MANCHESTER UNITED WALIYOZAWADIWA MAGARI.

                                                    Shinji Kagawa na Nick Powell
Mjapan Shinji Kagawa amezaliwa miaka 23 iliyopita na club yake ya mwisho kuichezea ni Borussia Dortmund na kaifungia magoli 21 kwa miaka miwili aliyokaa nayo na amezichezea timu za taifa toka mwaka 2006, Powell yeye ameichezea Crew Alexandra kwa miaka miwili na kuondoka na magoli yake 16, Timu za taifa za England amejiunga nazo toka 2009.
                                        Waandishiwa habari wakipata picha

No comments: